Deuteronomy 20:14

14 aKwa upande wa wanawake, watoto, mifugo na kila kitu kingine chochote ndani ya huo mji, mnaweza kuvichukua kama nyara kwa ajili yenu. Nanyi mnaweza kuzitumia hizo nyara ambazo Bwana Mwenyezi Mungu wenu amewapa kutoka kwa adui zenu.
Copyright information for SwhKC